Nenda kwa yaliyomo

mpaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

Mpaji ni mtu anayetoa au anayegawa kitu kwa hiari yake, kama vile zawadi, msaada, au kitu kingine.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: giver