mnyororo wa vitalu
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mnyororo wa vitalu (wingi minyororo ya vitalu)
- Teknolojia ya hifadhidata iliyosambazwa na isiyoweza kubadilishwa, inayotumika kurekodi miamala kwa usalama.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: blockchain (en)