Nenda kwa yaliyomo

mnyoo

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mnyoo m-mi (wingi minyoo)

  1. Jina la jumla la viumbe virefu, vyembamba na visivyo na miguu, wengine huishi ardhini na wengine ndani ya miili ya wanyama.

Tafsiri

[hariri]