Nenda kwa yaliyomo

mlolongo wa chakula

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mlolongo wa chakula (wingi milolongo ya chakula)

  1. Mpangilio unaoonyesha jinsi nishati inavyopita kutoka kiumbe mmoja hadi mwingine; kwa mfano, majani huliwa na swala, naye swala huliwa na simba.

Tafsiri

[hariri]