Nenda kwa yaliyomo

mlipa kodi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mlipa kodi (wa- walipa kodi)

  1. Mtu binafsi au kampuni yenye wajibu wa kisheria wa kulipa kodi kwa serikali kulingana na mapato, faida, au thamani ya mali anayomiliki; taxpayer.