Nenda kwa yaliyomo

mlenda

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: mlenda)

  1. ni mboga inayopikwa kwa kuchanganya mimea mbalimbali kama vile bamia, majani ya maboga na karanga;mara nyingi huliwa na ugali.