Nenda kwa yaliyomo

mkuu wa wilaya

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

mkuu wa wilaya (wingi wakuu wa wilaya)

  1. mtu anayesimamia shughuli zote za serikali za wilaya husika, kuhakikisha utekelezaji was sera, mipango na sheria za taifa.