Nenda kwa yaliyomo

mkuu wa mkoa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

mkuu wa mkoa (wingi wakuu wa mikoa)

  1. mtu anayesimamia shughuli za serikali katika mkoa husika, akihakikisha utelekezaji wa sera, mipango na sheria za taifa.

Tafsiri

[hariri]