Nenda kwa yaliyomo

mji wa mimba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mji wa mimba (wingi miji ya mimba)

  1. Sehemu ya ndani ya mfumo wa uzazi wa mwanamke ambapo mimba hutunga na kukua
  2. Chombo cha uzazi kinachoitwa pia uterasi

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: uterus; womb