Nenda kwa yaliyomo

mirija ya uzazi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mirija ya uzazi (umoja mrija wa uzazi)

  1. sehemu ya mfumo wa uzazi wa mwanamke inayopitisha yai kutoka ovari hadi kwenye mji wa mimba(uterasi)
  2. mirija miwili midogo inayounganisha ovari na uterasi, ambapo urutubishaji wa yai mara nyingi hutokea

Tafsiri

[hariri]
  • Kiingereza: [fallopian tubes]