mikroskopi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- Kifaa kinachotumika kukuza na kuonyesha viumbe au vitu vidogo visivyoonekana kwa macho bila msaada; hutumika katika maabara na tafiti za kisayansi
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:microscope
- Kifaransa:microscope