Nenda kwa yaliyomo

migebuka

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

Ni aina ya samaki kutoka ziwa Tanganyika. Wana asili ya Kigoma. Wanajulikana pia kwa jina la Mukeke huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Burundi.

Picha ya migebuka.

Tafsiri

[hariri]

Kiingereza: Sleek lates