Nenda kwa yaliyomo

mgongaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

mgongaji (wingi wagongaji)

  • Matamshi*: /mɡo.ŋa.d͡ʒi/
  1. mtu anayejinufaisha kutokana na jasho au kazi ya wengine bila kutoa mchango wake.
  2. mtu anayetumia nafasi au hali fulani kwa manufaa yake binafsi.

Tafsiri

[hariri]