metaphor
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- tamathali ya semi inayolinganisha vitu viwili tofauti kwa kusema kimoja ni kingine, bila kutumia “kama” au “kama vile”
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: tamathali ya semi, mfano usio wa moja kwa moja
- Kifaransa: métaphore