metalurujia
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- taaluma au teknolojia ya kuchunguza, kuchakata, na kutengeneza metali kutoka kwenye madini; hujumuisha uhandisi wa kuyeyusha, kuyachanganya, na kuyatengeneza kwa matumizi mbalimbali
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa: métallurgie
- Kiingereza: metallurgy