metaboli
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]- mchakato wa kibaolojia unaofanyika ndani ya viumbe hai ambapo chakula hubadilishwa kuwa nishati au sehemu za mwili; hujumuisha anaboliki na kataboliki
Tafsiri
[hariri]- Kifaransa: métabolisme
- Kiingereza: metabolism