Nenda kwa yaliyomo

metaboli

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mchakato wa kibaolojia unaofanyika ndani ya viumbe hai ambapo chakula hubadilishwa kuwa nishati au sehemu za mwili; hujumuisha anaboliki na kataboliki

Tafsiri

[hariri]