Nenda kwa yaliyomo

messiah

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mkombozi aliyeahidiwa katika maandiko ya Kiyahudi
  2. Yesu Kristo, kwa imani ya Kikristo, kama Mwokozi wa wanadamu
  3. kiongozi anayechukuliwa kuwa mkombozi wa kundi fulani au taifa

Tafsiri

[hariri]