menopause
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- kipindi cha maisha ya mwanamke kinachoashiria mwisho wa hedhi na uwezo wa kuzaa, baada ya kutopata hedhi kwa miezi 12 mfululizo
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: hedhi ya mwisho, kukoma kwa hedhi
- Kifaransa: ménopause