mdukuzi
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mdukuzi (wingi wadukuzi)
- mdukuzi ni mtu anayevamia au kuingia kwenye mifumo ya kompyuta bila ruhusa
- mtu mwenye ujuzi mkubwa wa teknolojia ya kompyuta na anaweza kuvunja au kurekebisha mifumo (sio lazima awe na nia mbaya, anaweza pia kutumia ujuzi wake kusaidia
- kwa matumizii ya kawaida wakati mwingine hutumika kumaanisha tapeli wa mtandaoni au mtu anayefanya wizi wa kidijitali