Nenda kwa yaliyomo

mdukuzi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mdukuzi (wingi wadukuzi)

  1. mdukuzi ni mtu anayevamia au kuingia kwenye mifumo ya kompyuta bila ruhusa
  2. mtu mwenye ujuzi mkubwa wa teknolojia ya kompyuta na anaweza kuvunja au kurekebisha mifumo (sio lazima awe na nia mbaya, anaweza pia kutumia ujuzi wake kusaidia
  3. kwa matumizii ya kawaida wakati mwingine hutumika kumaanisha tapeli wa mtandaoni au mtu anayefanya wizi wa kidijitali