Nenda kwa yaliyomo

mchongaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. Mtu anayefanya kazi ya kuchonga mbao, jiwe, chuma, au vifaa vingine; mfanyakazi wa kuchonga

Tafsiri

[hariri]