mbuga ya wanyama
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]mbuga ya wanyama n-n (wingi mbuga za wanyama)
- Eneo la ardhi lililotengwa kwa ajili ya uhifadhi wa wanyamapori, ambapo uwindaji unaweza kuruhusiwa kwa vibali maalum.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: game reserve (en)