Nenda kwa yaliyomo

masaji

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. mbinu ya tiba au starehe inayohusisha kukandwa na kusuguliwa kwa misuli ya mwili ili kupunguza maumivu, uchovu au kuboresha afya

Tafsiri

[hariri]