Nenda kwa yaliyomo

manemane

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]
  1. ni aina ya mti unaotoa utomvu wenye harufu nzuri hutumika kutengeneza manukato,dawa za kienyeji na pia hutumika muda mwingine kwenye ibada.