Nenda kwa yaliyomo

mamalia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

mamalia n-n (wingi mamalia)

  1. Kundi la wanyama wenye damu moto, wengi wao wakiwa na nywele au manyoya, na ambao jike hunyonyesha watoto wake maziwa.

Tafsiri

[hariri]