mama mkuu
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri]mama mkuu (wingi mama wakuu)
- Matamshi*: /ma.ma mkuː/
- mama mwenye hadhi kubwa au mwenye heshima katika jamii au ukoo.
- (kidini) kiongozi mkuu wa shirika la masista wa Kanisa Katoliki.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza:matriarch;mother superior