mahafali
Mandhari
Kiswahili
[hariri]nomino
[hariri](wingi: mahafali)
- ni sherehe ya mwanafunzi kupata stashahada au stashahada ya kitaaluma au sherehe ambayo wakati mwingine huhusihswa na kuhitimu masomo.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: graduation