Nenda kwa yaliyomo

madrasa

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

madrasa

  1. ni shule au kituo cha elimu ya dini ya Kiislamu ambapo watoto au watu wazima hufundishwa Qur’an, Hadithi na mafundisho ya Kiislamu.

Mfano

[hariri]
  • Mtoto wangu anasoma madrasa kila jioni.

Tafsiri

[hariri]