machine learning
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Noun
[hariri](Wingi; -)
- Ni maneno ya Kiingereza yanayomaanisha sehemu ya akili mnemba ambapo mifumo ya kompyuta hutumia data kujifunza na kuboresha utendaji bila kupewa maelekezo ya moja kwa moja.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; ujifunzaji wa mashine