Nenda kwa yaliyomo

maada

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

1. Kitu chochote chenye uzito na kinachochukua nafasi; huundwa na atomi na huweza kuwa katika hali ya yabisi, kimiminika au gesi.

Mfano: Maada ya dunia yetu huundwa na kemikali kama oksijeni, kaboni na haidrojeni.

Visawe

[hariri]
  • mata
  • dutu

Husika na

[hariri]
  • fizikia
  • kemia
  • atomu
  • hali za maada (yabisi, kimiminika au gesi)