Nenda kwa yaliyomo

limit

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiingereza

[hariri]

Noun

[hariri]

(Wingi; limits)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kikomo, ukomo, au mipaka ya kitu; hatua au kiwango cha juu au cha chini ambacho hakiwezi kuzidishwa.

Verb

[hariri]

(Wingi; limit)

  1. Ni neno la Kiingereza linalomaanisha kuweka kikomo au mipaka; kuzuia au kupunguza.

Tafsiri

[hariri]