lifeguard
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri]- mtu mwenye ujuzi wa kuogelea anayefanya kazi ya kuokoa watu wanaopata matatizo wakiwa majini, hasa katika bwawa au ufukwe
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili: mokozi wa maji, mlinzi wa bwawa
- Kifaransa: nageur sauveteur, secouriste aquatique