Nenda kwa yaliyomo

lemuri

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

lemuri n-n (wingi lemuri)

  1. Mnyama anayefanana na tumbili anayepatikana Madagaska pekee, wengi wao wakiwa na mikia mirefu.

Tafsiri

[hariri]