legislative council
Mandhari
Kiingereza
[hariri]Nomino
[hariri](Wingi; legislative councils)
- Neno la kiingereza lenye maana ya chombo cha serikali kinachotunga sheria, au mojawapo ya vyumba vya kutunga sheria, vya taifa, koloni, au kitengo cha utawala cha chini kama jimbo.
Tafsiri
[hariri]- Kiswahili; baraza la kutunga sheria