Nenda kwa yaliyomo

lafudhi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: lafudhi)

  1. ni namna ya pekee ya kutamka lugha au maneno kutokana na lugha ya awali ya mzungumzaji (lugha mama).

Tafsiri

[hariri]