Nenda kwa yaliyomo

kushika

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kitenzi

[hariri]
  1. Kushika au kugusa kwa mkono au sehemu yoyote ya mwili.
    • Mfano: Kushika kalamu. (To hold a pen.)
  2. Kukamata au kuteka kitu kinachotembea au kupata ugonjwa.
    • Mfano: Kushika mpira. (To catch a ball.)

Tafsiri

[hariri]