kufunga
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Kitenzi
[hariri]- Kufunga; tendo la kuweka kitu kisifunguke au kisiingizike.
- Mfano: Kufunga mlango. (To close the door.)
- Kufunga au kufungasha kamba au kitambaa.
- Mfano: Kufunga kamba. (To tie a rope.)
- Kujiepusha na chakula kwa ajili ya sababu maalum (kama dini).
- Mfano: Kufunga Ramadhani. (To fast during Ramadan.)
- Kuweka mtu gerezani.
- Mfano: Kufunga jela. (To imprison.)