Nenda kwa yaliyomo

kuatamia

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Kitenzi

[hariri]
  1. (Kwa ndege) Kukalia mayai ili kuyapa joto na kuwezesha vifaranga kutotolewa.

Tafsiri

[hariri]