Nenda kwa yaliyomo

krosi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

krosi

  1. Kupiga mpira kutoka upande mmoja wa uwanja kwenda mwingine
  2. Kuhamisha kitu kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa mwalekeo wa mlalo au usawa.

Matumizi katika lugha

[hariri]
  • "mchezaji alipiga krosi nzuri kwa mshambuliaji"

Tafsiri

[hariri]