Nenda kwa yaliyomo

kromi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. kipengele cha kemikali chenye alama Cr na namba ya atomu 24; ni metali ngumu, yenye kung’aa na hutumika katika kutengeneza aloi na kupaka kinga dhidi ya kutu

Tafsiri

[hariri]