korona
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]1. Jamii ya virusi vinavyosababisha maradhi ya njia ya hewa kwa binadamu, ikiwemo homa, kikohozi, na kushindwa kupumua.
- Mfano: Virusi vya korona vilisababisha janga la UVIKO-19 duniani.
Husika na
[hariri]- UVIKO-19
- homa ya mapafu
- mfumo wa upumuaji
- afya ya jamii
Dalili za ugonjwa wa korona
[hariri]- Homa kali
- Kikohozi kikavu
- Kukosa pumzi
- Maumivu ya misuli
- Kupoteza ladha na harufu
- Kichefuchefu na kuharisha
Njia za kujikinga
[hariri]- Nawa mikono mara kwa mara
- Vaa barakoa
- Epuka mikusanyiko
- Kaa umbali wa angalau mita mbili kutoka kwa wengine
- Jitenge ukiwa na dalili
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: COVID-19, Corona