Nenda kwa yaliyomo

korona

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

1. Jamii ya virusi vinavyosababisha maradhi ya njia ya hewa kwa binadamu, ikiwemo homa, kikohozi, na kushindwa kupumua.

Mfano: Virusi vya korona vilisababisha janga la UVIKO-19 duniani.

Husika na

[hariri]
  • UVIKO-19
  • homa ya mapafu
  • mfumo wa upumuaji
  • afya ya jamii

Dalili za ugonjwa wa korona

[hariri]
  • Homa kali
  • Kikohozi kikavu
  • Kukosa pumzi
  • Maumivu ya misuli
  • Kupoteza ladha na harufu
  • Kichefuchefu na kuharisha

Njia za kujikinga

[hariri]
  • Nawa mikono mara kwa mara
  • Vaa barakoa
  • Epuka mikusanyiko
  • Kaa umbali wa angalau mita mbili kutoka kwa wengine
  • Jitenge ukiwa na dalili

Tafsiri

[hariri]