Nenda kwa yaliyomo

kongoni

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kongoni n-n (wingi kongoni)

  1. Swala mwenye uso mrefu na pembe zilizopinda kwa namna ya pekee.

Tafsiri

[hariri]