Nenda kwa yaliyomo

kondo la nyuma

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

kondo la nyuma (wingi makondo ya nyuma)

  1. ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamzito inayomsaidia mtoto kupata chakula na hewa kutoka kwa mama akiwa tumboni.

Tafsiri

[hariri]