Nenda kwa yaliyomo

kiwakilishi

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]
  1. neno linalosimama badala ya nomino; hutumika kutaja mtu, kitu au dhana bila kurudia jina (mfano: mimi, wewe, wao)

Tafsiri

[hariri]