Nenda kwa yaliyomo

kiungo (sehemu ya mwili)

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kiungo (sehemu ya mwili) (viungo)

  1. sehemu inayounganisha mfupa mmoja na mwingine mwilini.
  2. sehemu yoyote muhimu ya mwili kama vile moyo, ini, au figo.

Tafsiri

[hariri]