kiungo (mpira)
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]kiungo (mpira) (wingi viungo)
- mchezaji wa mpira wa miguu anayechukua nafasi ya kati kati ya uwanja, akisaidia ulinzi na ushambuliaji.
Tafsiri
[hariri]- Kiingereza: midfielder (en)
kiungo (mpira) (wingi viungo)