Nenda kwa yaliyomo

kiungo (mpira)

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kiungo (mpira) (wingi viungo)

  1. mchezaji wa mpira wa miguu anayechukua nafasi ya kati kati ya uwanja, akisaidia ulinzi na ushambuliaji.

Tafsiri

[hariri]