Nenda kwa yaliyomo

kiumbe hai

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

Nomino

[hariri]

kiumbe hai (wingi viumbe hai)

  1. kitu chochote chenye sifa zifuatazao; kupumua,kujongea,kukua,kutoa taka mwili,kuzaliwa na kufa.