Nenda kwa yaliyomo

kitumbua

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

kitumbua (wingi vitumbua)

  1. ni chakula chenye umbo la duara kinachopikwa kwa kutumia unga wa mchele, sukari na kukaangwa na mafuta, hupendelewa sana na jamii ya kitanzania.