Nenda kwa yaliyomo

kiti cha akiba

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

kiti cha akiba(wingi: viti vya akiba)

  1. Eneo maalum karibu na uwanja ambapo wachezaji ambao hawajaanza mchezo (wachezaji wa akiba) hukaa.

Visawe

[hariri]
  • benchi la akiba

Matumizi katika sentensi

[hariri]
  • Timu ilishinda kwa sababu kiti chao cha akiba kilikuwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa