kisirani
Mandhari
Kiswahili
[hariri]Nomino
[hariri]kisirani (ki/vi)
- Bahati mbaya au hali ya kukumbwa na matatizo mara kwa mara.
- Tabia ya mtu ya kusababisha matatizo au mivurugano mahali alipo.
- Mfano: "Ana kisirani sana, kila akifika hapa kuna ugomvi."
- (sitiari) Hali au kitu kinachochukiza au kinachozuia maendeleo.