Nenda kwa yaliyomo

kisamvu

Ufafanuzi kutoka Wiktionary, kamusi iliyo huru

Kiswahili

[hariri]

nomino

[hariri]

(wingi: kisamvu)

  1. ni mboga inayotengenezwa kutumia majani ya mmea wa muhogo, huchanganywa na vitu mbalimbali kama vile karanga na nazi kuongeza virutubisho.